Availability: In Stock

Storymoja Grade 6 Story Book – Kigogo

SKU: 978-9966-066-63-3

KSh 577.33

GRADE 6, 8 STORY BOOK BY STORYMOJA

Description

Tamthilia ya Kigogo inamulika baadhi ya masuala yanayoibuka katika nchi zinazoendelea za Bara la Afrika. Huku wakazi wa Sagamoyo wakijiandaa kuadhimisha siku ya uhuru utakaosherehekewa kwa mwezi mmoja na kujivunia ‘maendeleo makuu’, Soko la Chapakazi, ambalo ndilo tegemeo la wengi jimboni, linafungwa ghafla. Je, viongozi wamelifunga kwa nia gani? Wakazi wa Sagamoyo wanaolitegemea kujipa riziki watafanya nini? Tamthilia hii inatoa picha halisi ya nchi inayojivunia miaka mingi ya uhuru. Je, uhuru huo unamfaidi nani?

Additional information

Availability Status

Available for Order

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Storymoja Grade 6 Story Book – Kigogo”

Your email address will not be published. Required fields are marked *